V'ee Jay Ni Miongoni Mwa Watanzania Waliopo Nje Ya Nchi Na Anafanya Harakati Za Muziki Nchini Marekani, NiMuda Mrefu Sasa Umepita Toka Waingie Katika Tofauti Na Producer Wake Wa Muda Mrefu Self Kuwa...
Showing posts with label BONGO NEWZ. Show all posts
Showing posts with label BONGO NEWZ. Show all posts
Saturday
Sunday

Q Boy Msafi akana kuupinga mtandao wa wasafi.com
Msanii wa Bongo Fleva, Q Boy Msafi ambaye alikuwa mbunifu wa mavazi
ya Diamond Platnumz amesema si kweli alikuwa anapinga ujio wa mtandao wa
wasafi.com kitu kilichopelekea kutimuliwa WCB.
Q Boy ameiambia...
Saturday

Zilizotufikia: Roma na wenzake wapatikana wakiwa salama
Taarifa zilizotufikia zimedai kuwa Roma na watu wengine waliokuwa wameshikiliwa tangu Jumatano hii wamepatikana wakiwa salama.
Mkuu wa polisi (OCD) wilaya ya Kinondoni, Abubakar Kunga
amethibitisha...

Diamond afafanua sababu za kuachia wimbo ‘Acha Nikae Kimya’ uliogusia suala la Roma
Diamond Platnumz ameachia wimbo wake mpya kwa kushtukiza uitwao ‘Acha
Nikae Kimya.’ Wimbo unazungumzia masuala mengi yanayotokea sasa ikiwemo
hofu iliyotanda baada ya Roma na wenzie kutekwa.
Wimbo...
Sunday

Nay wa Mitego kukamatwa na polisi ni kutokana na wimbo wake Wapo
Nay wa Mitego amedai amekamatwa na polisi wilayani Mvomero, Morogoro alikokuwa ameenda kwaajili ya show.
Hajasema sababu ya kukamatwa kwake lakini watu wanahisi ni kutokana
na wimbo wake Wapo ambao...
Monday

Diamond afungua mwaka na deal hii kubwa ya ubalozi
Msanii wa muziki Nassib Abdul maarufu, Diamond Platnumz ameteuliwa
rasmi na kampuni ya GSM kuwa balozi wa kutangaza bidhaa mbalimbali za
taasisi hiyo.
Akizungumza Jijini Dar es Salaam Afisa Masoko...
Sunday

Hii ndio sababu ya Temba kukaa kimya kwa muda mrefu kwenye muziki
Mh Temba amefunguka sababu ya kukaa kimya kwa muda mrefu kwenye muziki.
Msanii huyo amekiambia kipindi cha FNL cha EATV kuwa alitakiwa
kuachia wimbo mpya mapema kabala hata ya ‘Acha Waoane’ wa Chege...
Thursday

Diamond: Nikiwa natoa nyimbo, siwazi redio na TV kama sehemu ya promotion
Diamond Platnumz amesema kwa sasa redio na TV si vyombo
anavyovitegemea sana kwaajili ya promotion pindi anapokuwa akiachia
nyimbo.
“Mimi nikiwa natoa nyimbo yangu, promotion yangu siwazi redio wala...

Wema aalikwa kwenye 40 ya Prince Nillan Jumamosi hii
Zari na Wema Sepetu mambo mbona fresh tu. Malkia huyo wa filamu nchini amealikwa kwenye sherehe ya 40 ya Prince Nillan.
Wakizungumza kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM Alhamis hii,
Diamond...
Monday

Mama Wema Sepetu ashinda Polisi kujua hatima ya mwanaye
Sakata la baadhi ya wasanii wakubwa nchini kuhusishwa na biashara ya
dawa za kulevya limezidi kuchukua sura mpya, huku mzazi wa Wema Sepetu
akishinda polisi kujua hatima mwanaye.
Akiongea huku akiwa...
Tazama Video Ya Diamond Alivoporomosha matusi mazito kwenye Instagram Live
Instagram Live inawapa uchizi mastaa na kadri siku zinavyokwenda, mambo yanazidi kuchemka.
Jumapili iliyomalizika, Diamond alikuwa live kwa muda mrefu kwenye
mtandao huo akiwa nyumbani kwake, Pretoria,...
Sunday

Alikiba, yazingatie malalamiko ya mashabiki wako
Ali Saleh Kiba al maarufu kama Alikiba ni miongoni mwa wasanii
wakongwe na wakubwa Tanzania, Afrika Mashariki na pengine Afrika kwa
ujumla. Ni mshindi wa tuzo zaidi ya 14 kwa mwaka 2016 ikiwezo tunzo...
Saturday

Hii ndio sababu ya Mo Music kuwa ‘single’
Mo Music anadai bado yupo single na tayari kumingle.
Mkali huyo kutoka Rock City, kupitia kipindi cha Power Point cha Kings Fm,ameweka wazi sababu ya yeye kutokuwa kwenye mahusiano.
“Wengi wanakupenda...
Thursday

Kajala akanusha binti yake kuharibikiwa kimaadili, ni baada ya video chafu inayodaiwa ya Paula kusambaa mtandaoni
Katika mitandao mbalimbali ya kijamii ipo video iliyosambaa ambayo
inamuhusu binti mdogo wa chini ya miaka 18 akifanya mapenzi na mtu mzima
ndani ya Gari.
Kijala na binti yake Paula
Awali ilisemekana...

Mpenzi wa Ray Kigosi, Chuchu Hans ajifungua mtoto wa kiume
Mpenzi wa msanii mkongwe wa filamu Ray Kigosi, Chuchu Hans amejifungua mtoto wa kiume wiki hii, Ray amethibitisha.
Ray alipost picha kuonyesha sehemu ya mwili ya mtoto wake
Muigizaji huyo ameonyesha...
Wednesday

Izzo Bizness: Chidi Benz alinisaidia sana kiuchumi kipindi nimefulia
Nimewahi kuzungumza na Ditto kwa ufupi na akanieleza kuwa
katika watu wenye roho nzuri katika kusaidia watu, Chidi Benz ni namba
moja.
Alisema kipindi ambacho rapper huyo ana fedha, washkaji wengi...

WCB ya Diamond kumsaini Q Chief?
Label kubwa ya muziki nchini, WCB ya Diamond Platnumz, huwenda ikamsaini msanii mkongwe wa muziki nchini Q Chief.
Muimbaji huyo aliyewahi kufanya vizuri na wimbo ‘Si Ulinikataa’ hivi
karibuni alitembelea...
Friday

Nay wa Mitego: MR T Touch bado ni producer mzuri lakini…
Nay wa Mitego na producer aliyemtambulisha kwenye game, Mr T Touch
walikuwa na chemistry ya aina yake na walifanikiwa kutengeneza hits
nyingi.
Baada ya kufanya kazi kwa muda katika studio za Free...
Saturday

Solo Thang: Sikuwa na nia ya kumdhalilisha Chidi Benz
Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop nchini, Solo Thang amefunguka
baada ya baadhi ya watu kumjia juu kwa kusambaza kipande cha video
alichorekedi akiwa na Chidi Benz.
Akiongea kwenye kipindi cha...
Thursday

Mpenzi mpya wa Shilole: Mimi kuchora tattoo ya Shilole ni moyo wangu tu umetaka kufanya hivi
Mpenzi mpya wa Shilole ambaye ni mfanyabiashara wa nguo, Adam, amefunguka na kuzungumzia jinsi wanavyopendana na Shilole.
Kijana huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa
hamwangalii...