Mbwana Samatta amefanya kile ambacho watanzania wengi walikuwa
wanatarajia akifanye, magoli mawili aliyofunga yameipa Stars ushindi wa
2-0 dhidi ya Botswana kwenye mechi ya kirafiki ya kimataifa ya...
Achana na uwezo wa Mbwana Samatta akiwa uwanjani. Mchezaji huyo siyo
wa mchezo pia kiuchumi– ana mijengo takribani sita jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa gazeti la Mwanaspoti, mshambuliaji huyo...
Chama cha soka duniani FIFA kinakataza Serikali kuingilia masuala ya
soka na adhabu kali hutolewa kwa mwanachama yeyote anayekiuka jambo
hilo. Bunge la Uingereza linataka kupiga kura ya kutokuwa na...
Timu ya Tanzania ya vijana wenye umri wa chini ya miaka 23
‘Kilimanjaro Warriors’ inatarajiwa kuingia kambini Janauri 29, 2017 kwa
ajili ya maandalizi ya awali ya kucheza mechi za kufuzu fainali za...
Raisi mpya wa FIFA Gianni Infantino anaonekana kutaka kubadili soka
kabisa.Infantino anaonekana kuondoa kila kitu cha Sepp Blatter na kuleta
vyake.Baada ya kuongeza timu zitakazoshiriki kombe la dunia...
Bondia Francis Cheka ametangaza rasmi kuachana na mchezo wa ngumi na kujielekeza kwenye masuala binafsi ya kibiashara.
Mwanandondi huyo kutoka Morogoro amesema hayo wakati akizungumza na
waandishi...
Klabu ya Crystal Palace ambayo inashriki ligi kuu ya Uingereza,
hatimaye imemtangaza Sam Allardyce kuwa kocha mpya wa klabu hiyo baada
ya kumfuta kazi kocha Alan Pardew wakati ambapo klabu hiyo iko...
Rais wa shirikisho la soka ulimwengu FIFA Gianni Infantino amesema
anapanga kuboresha michuano ya klabu Bingwa dunia kutoka timu 7 hadi
timu 32 lengo likiwa ni kuboresha michuano hiyo ili ilete...
Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imepoteza mechi yake na Zimbabwe kwa kufungwa 3-0 katika mchezo wa kirafiki.
Zimbabwe ilipata goli lake la kwanza kupitia kwa mshambuliaji wao
Knowledge Musona...
Eneo la kiungo la Simba
Safu ya kiungo ya Simba ilibadili mchezo
wao wa pasi nyingi hasa baada ya Yanga kuanza mchezo kwa kasi wakitumia
mipira mirefu kutoka kwa Kamusoko kwenda...