Baada ya uteuzi wa Rais Magufuli jana wa Mwenyekiti wa chama cha ACT
Wazalendo, Anna Mghwira kuwa mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kulikuwa na
mijadala mizito mitandaoni na hata kwenye vyombo vya habari...
Showing posts with label NEWS. Show all posts
Showing posts with label NEWS. Show all posts
Sunday
Jobs at Musoma Water Supply and Sanitation Authority (MUWASA)
VACANCIES
Musoma Water Supply and Sanitation Authority (MUWASA) is an
utility established under section 9 of the Water Supply and Sanitation
Act No. 12 of 2009 with the objective of provision...
NAFASI YA AJIRA TPC LIMITED, JUNE 2017
VACANCY ANNOUNCEMENT
TPC Ltd is one of the fast growing sugar
producing companies in Tanzania. The company is situated at the foot of
Mount Kilimanjaro. 22 kms south of Moshi Municipality
Applications...
Saturday

Spika ana mamlaka kisheria ya kuomba vyombo vya dola kumsaidia kumkamata mtu – Mdee
Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee amesema Spika ana mamlaka ya
kisheria ya kuomba vyombo vingine vya dola kumsaidia kumkamata mtu huku
akisema kuwa ameamua kuwahi Dodoma kuepuka kukomolewa na Spika...
Sunday
Monday

Taarifa rasmi kutoka Clouds Media kuhusu video inayosambaa
Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikiaminika ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda...

Ifaham Gharama ya kuilinda familia ya Trump kwa siku
Familia ya Rais wa Marekani, Donald Trump ina ulinzi mkali. Ulinzi huo unadaiwa kugharimu kiasi kikubwa cha fedha.
Wakati ambapo Trump alihamia kwenye ikulu ya White House iliyopo
jijini Washington...
Friday

Rais Magufuli mbioni kuhamia Dodoma
Rais wa Jamhuri wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ametembelea
uwanja wa Chamwino mkoani Dodoma na kuwahakikishia wananchi kuwa
atahamia Dodoma hivi karibuni kama alivyoahidi.
Rais wa Jamhuri ya...

Hii ni taarifa ya uchaguzi wa wajumbe wa Bunge la Afrika Mashariki
Uchaguzi wa Wajumbe Tisa (9) watakaoiwakilisha Jamuhuri ya Muungano
wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) unatarajiwa
kufanyika katika Mkutano wa Saba wa Bunge unaotarajiwa kuanza Aprili...

Agizo la Mwakyembe ‘huna cheti cha kuzaliwa hakuna kufunga ndoa’ lafutwa na Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
amelifuta agizo lililotolewa jana tarehe 16 Machi, 2017 na Waziri wa
Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe linalotoa sharti la kuwa...
Sunday
Jeshi la polisi Dar lakusanya milioni 840 kwa faini ya makosa mbalimbali ya barabarani
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limefanikiwa kukusanya
jumla ya shilingi milioni 840 za faini ya makosa mbalimbali ya
barabarani kwa kipindi cha wiki moja ya oparesheni iliyofanywa na...
Thursday

Kukamatwa kwa pombe za ‘viroba’ zasababisha mfanyabiashara ajiue
Oparesheni ya wafanyabiashara wa viroba inayoendelea nchini,
imesababisha Mfanyabiashara mmoja ajiue kwa kujipiga risasi kichwani.
Mfanyabiashara huyo ni mmiliki wa kampuni ya Mselia Enterprises...
Saturday

TID kumshtaki Steve Nyerere, ni baada ya kutuhumiwa kupokea milioni 2 za RC Makonda
Msanii mkongwe wa muziki Khalid Mohamed ‘TID’ ameahidi kuwachukulia
hatua watu wanaosambaza taarifa kuwa alipewa pesa na Mkuu wa Mkoa wa Dar
es Salaam Paul Makonda kama kivuli katika sekeseke la kutaja...
Thursday

Rufaa ya Trump kurudisha marufuku ya waislamu kuingia US yapigwa chini, sasa ruksa
Mahakama ya rufaa nchini Marekani imelikataa jaribio la Rais wa nchi
hiyo, Donald Trump kurejesha amri yake ya kuzuia wageni kutoka nchi saba
za kiislamu kuingia nchini humo.
Mahakama hiyo imesema...

Rais Magufuli amsimamisha kazi Kaimu Katibu wa Tume ya Mipango
Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Kaimu Katibu wa Tume ya Mipango
(Wizara ya Fedha), Florence Mwanri aliyeidhinisha kuanza kwa awamu ya
pili ya ujenzi wa jengo jipya la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa...

Tundu Lissu apandishwa kizimbani
Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu amepandishwa kizimbani katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na
mashtaka manne ya uchochezi.
Lissu amepandishwa kizimbani...
Monday
Vita ya dawa za kulevya: 12 kati ya 112 kupandishwa kortini akiwemo Wema, TID na wengine
Sakata la Madawa ya kulevya limeendelea kugonga vichwa vya habari
wiki hii ambapo Jumatatu hii Jeshi la polisi limedai toka lianze
operesheni hiyo tayari limewakamata watuhumiwa 112 na kati ya hao...

Fahamu unywaji pombe salama unaoweza kuimarisha afya yako
Kipimo salama na sahihi kwa afya bora cha unywaji wa pombe
kinabadilika kutokana na umri. Ongea na mfamasia wako kujua ni kiasi
gani ni mahususi kwa afya yako.
Hakuna shaka umewahi kusikia kwamba...

Polisi wamzuia Askofu Mokiwa kushiriki ibada
Polisi wameingilia kati mvutano ndani ya Kanisa la Anglikana baada
ya kumzuia Askofu wa Dayosisi ya Dar es Salaam, Dkt. Valentino Mokiwa
kushiriki ibada ya kumsimika Askofu mpya wa Dayosisi ya Lweru.
...
Thursday
MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA NNE 2016
Leo January 31 2017 Baraza la mitihani Tanzania ‘NECTA’ limetangaza matokeo ya kidato cha nne ‘CSEE 2016’
>>BOFYA HAPA KUTAZAMA<<
...