V'ee Jay Ni Miongoni Mwa Watanzania Waliopo Nje Ya Nchi Na Anafanya Harakati Za Muziki Nchini Marekani, NiMuda Mrefu Sasa Umepita Toka Waingie Katika Tofauti Na Producer Wake Wa Muda Mrefu Self Kuwa...
Showing posts with label BONGO NEWZ. Show all posts
Showing posts with label BONGO NEWZ. Show all posts
Saturday
Sunday

Q Boy Msafi akana kuupinga mtandao wa wasafi.com
Msanii wa Bongo Fleva, Q Boy Msafi ambaye alikuwa mbunifu wa mavazi
ya Diamond Platnumz amesema si kweli alikuwa anapinga ujio wa mtandao wa
wasafi.com kitu kilichopelekea kutimuliwa WCB.
Q Boy ameiambia...
Saturday

Zilizotufikia: Roma na wenzake wapatikana wakiwa salama
Taarifa zilizotufikia zimedai kuwa Roma na watu wengine waliokuwa wameshikiliwa tangu Jumatano hii wamepatikana wakiwa salama.
Mkuu wa polisi (OCD) wilaya ya Kinondoni, Abubakar Kunga
amethibitisha...

Diamond afafanua sababu za kuachia wimbo ‘Acha Nikae Kimya’ uliogusia suala la Roma
Diamond Platnumz ameachia wimbo wake mpya kwa kushtukiza uitwao ‘Acha
Nikae Kimya.’ Wimbo unazungumzia masuala mengi yanayotokea sasa ikiwemo
hofu iliyotanda baada ya Roma na wenzie kutekwa.
Wimbo...
Sunday

Nay wa Mitego kukamatwa na polisi ni kutokana na wimbo wake Wapo
Nay wa Mitego amedai amekamatwa na polisi wilayani Mvomero, Morogoro alikokuwa ameenda kwaajili ya show.
Hajasema sababu ya kukamatwa kwake lakini watu wanahisi ni kutokana
na wimbo wake Wapo ambao...