Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limefanikiwa kukusanya
jumla ya shilingi milioni 840 za faini ya makosa mbalimbali ya
barabarani kwa kipindi cha wiki moja ya oparesheni iliyofanywa na jeshi
hilo.
Akiongea na waandishi wa habari Ijumaa hii, Kamishna wa Kanda Maalumu
ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema kiwango cha mapato hayo ni kidogo
na inaashiria kupungua kwa makosa yanayofanywa na madereva.
“Kwa upande wa barabarani tunakwenda vizuri kati ya tarehe 1 mwezi 3
mwaka 2017 mpaka tarehe 9 mwezi wa 3 mwaka 2017 takribani siku hizo 8
tumeweza kukusanya jumla ya shilingi milioni 840 kwahiyo niseme tu
kwamba mapato yanapungua hii tu ni kwasababu watu wameanza kutii tu
sheria ya usalama barabarani,” Alisema Kamanda Sirro.
Sunday
RELATED STORIES
Hii ni taarifa ya uchaguzi wa wajumbe wa Bunge la Afrika MasharikiUchaguzi wa Wajumbe Tisa (9) watakaoiwakilisha Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Bunge la Af
Ndege ya kijeshi yenye watu 90 yapotea kwenye radarNdege ya kijeshi ya Urusi imepotea kwenye radar dakika chache tu baada ya kupaa angani kutoka kweny
Agizo la Mwakyembe ‘huna cheti cha kuzaliwa hakuna kufunga ndoa’ lafutwa na Rais MagufuliRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amelifuta agizo lililotolewa jana
Mchungaji afikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumbaka mwanayeMchungaji wa kanisa la Free Pentekoste Church Tanzania (FPCT) Tawi la Gezaulole wilayani Hai, Eman
TID kumshtaki Steve Nyerere, ni baada ya kutuhumiwa kupokea milioni 2 za RC MakondaMsanii mkongwe wa muziki Khalid Mohamed ‘TID’ ameahidi kuwachukulia hatua watu wanaosambaza taarif
Polisi wamzuia Askofu Mokiwa kushiriki ibadaPolisi wameingilia kati mvutano ndani ya Kanisa la Anglikana baada ya kumzuia Askofu wa Dayosisi
0 maoni: