Hii ni taarifa ya uchaguzi wa wajumbe wa Bunge la Afrika Mashariki 2:47 AM 0 Comment NEWS Uchaguzi wa Wajumbe Tisa (9) watakaoiwakilisha Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) unatarajiwa kufanyika katika Mkutano wa Saba wa Bunge unaotarajiwa kuanza Aprili 4 mwaka huu. Hii ni taarifa yake: SHARE THIS
0 maoni: