Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amewataka wasanii nchini
kumuunga mkono katika jitihada zake za kupambana na wezi wa kazi za
wasanii kuliko kuendelea kutoa siri za mapambano yake kwa wahusika
wanaowanyonya wasanii huku akidai wasanii wakubwa wa sekta hiyo hawampi
ushirikiano.
Waziri Nape ameyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na
wadau wa sanaa mbalimbali akieleza baadhi ya wasanii wakubwa wapo
lakini hawatoi ushirikiano wowowte ili hata pale wanapotakiwa kusaidiana
na wizara kupambana na wezi wa kazi za sekta hiyo.
“Nilisema kwenye operesheni hii tuambatane na watu ambao wanafanya
kazi hii, ili waunge mkono kwasababu hii inatakiwa kuwa kama kampeni
tukawaline up wasanii wote wakubwa walikimbia, wewe unajua, wote
walikimbia,” alisisitiza Nape.
“Hata nyinyi wasambazaji wa kazi za ndani sikumuona hata mmoja,
unajua waziri umeenda umefanya operesheni umemaliza mimi nilitegemea
nyinyi mnakaa mnawaita wana habari mnasema tunamuunga mkono waziri na
tutasimama nae kuhakikisha hili jambo linafanikiwa, lakini wote
walikimbia”.
Friday
RELATED STORIES
MAHAKAMA YAIAMURU SERIKALI KUREKEBISHA VIFUNGU VYA SHERIA YA MITANDAO Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ameondolewa mamlaka ya kutoa adhabu isiyokatiwa rufaa kwa mshtakiwa
Jobs at Musoma Water Supply and Sanitation Authority (MUWASA) VACANCIES Musoma Water Supply and Sanitation Authority (MUWASA) is an utility established und
Gazeti la Mwana Halisi lapewa saa 24 liombe radhiGazeti la MwanaHALISI limepewa saa 24 kumwomba radhi Rais John Magufuli kutokana na kuchapisha hab
Rufaa ya Trump kurudisha marufuku ya waislamu kuingia US yapigwa chini, sasa ruksaMahakama ya rufaa nchini Marekani imelikataa jaribio la Rais wa nchi hiyo, Donald Trump kurejesha
Fahamu unywaji pombe salama unaoweza kuimarisha afya yakoKipimo salama na sahihi kwa afya bora cha unywaji wa pombe kinabadilika kutokana na umri. Ongea na
Dhamira ya serikali kuhamia Dodoma ipo palepale – Waziri JenistaWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagam
0 maoni: