Shilole amempongeza Nuh Mziwanda kwa kuongeza idadi ya wasanii
walioukimbia ukapera baada ya kufunga ndoa kimya kimya na mpenzi wake
Nawal.
Kupitia mtandao wa Instagram, Shilole ameandika ujumbe unaosomeka,
“Hongera Nuh Mwenyezi Mungu awatie baraka tele kwenye ndoa yenu.”
Hitmaker huyo ameungana na mastaa wengine waliofunga ndoa mwaka huu
akiwemo Mwana FA, Shamsa Ford, Nyandu Tozzy, Tunda Man, Mabeste na
wengine.
Nuh na Shilole waliwahi kuwa wapenzi kwa muda mrefu lakini mwishoni
mwa mwaka jana waliachana huku kila mmoja akianzisha mahusiano mapya.
Friday
RELATED STORIES
Tazama Video Ya Diamond Alivoporomosha matusi mazito kwenye Instagram LiveInstagram Live inawapa uchizi mastaa na kadri siku zinavyokwenda, mambo yanazidi kuchemka. Jumapil
Man Water atoa sababu zilizowafanya washindwe kumrudisha 20%Mtayarishaji wa muziki nchini Man Water amefunguka sababu iliyowafanya washindwe kukamilisha mipan
WCB ya Diamond kumsaini Q Chief?Label kubwa ya muziki nchini, WCB ya Diamond Platnumz, huwenda ikamsaini msanii mkongwe wa muziki n
Msanii Darasa akiwa na Hanscana wapata ajali ya gari huko Kahama Mwanamuziki Darasa amepata ajali maeneo ya Ntobo barabara yakuelekea mgodi wa Bullyanhulu wilay
Hamadi adai alitongozwa na Shilole, aeleza sababu ya kuachana nayeMpenzi wa zamani wa Shilole, Hamadai amefunguka na kueleza jinsi alivyokutana na Shilole na kuanza
Ni furaha baada ya Young Dee kumuona mwanae kwa mara ya kwanzaFuraha ya mtoto si ya mama mzaa chema pekee, ni ya baba pia. Ilikuwa ni furaha tu baada ya rapper
0 maoni: