Showing posts with label NEWS. Show all posts
Showing posts with label NEWS. Show all posts

Sunday

 kauli ya Zitto Kabwe baada ya uteuzi wa Anna Mghwira

kauli ya Zitto Kabwe baada ya uteuzi wa Anna Mghwira

Baada ya uteuzi wa Rais Magufuli jana wa Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo, Anna Mghwira kuwa mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kulikuwa na mijadala mizito mitandaoni na hata kwenye vyombo vya habari juu ya uteuzi huo huku wengi wakimtaka Mbunge pekee wa chama hicho, Zitto Kabwe atolee ufafanuzi juu uteuzi huo hatimae leo ametoa kauli yake ya kwanza kuhusu uteuzi huo.
Tokeo la picha la zitto Kabwe na anna mghwira
Zitto Kabwe akiteta jambo na Mama Anna Mghwira
Zitto Kabwe amesema amezipokea taarifa hizo kutoka mitandaoni na kwenye vyombo vya habari lakini bado Chama cha ACT wazalendo hakijafanya mawasiliano na Mghwira anmbaye yupo nje ya nchi mpaka atakaporejea ndipo chama kitatoa msimamo wake juu ya uteuzi huo.
Nimekuwa naulizwa Sana kuhusu uteuzi wa Mwenyekiti wa Chama chetu kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Nimekuwa kimya Kwa sababu tumepokea Taarifa za uteuzi kutoka katika vyombo vya Habari. Mwenyekiti yuko nje ya nchi na kutokana na tofauti za masaa bado hatujawasiliana nae. Tutatoa tamko kamili atakapokuwa amerejea nchini.“ameandika Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa Facebook.
Hata hivyo Zitto Kabwe amewataka Wanachama wa chama cha ACT wazalendo luwa watulivu kwa kipindi hiki mpaka hapo taarifa rasmi itakapotolewa pindi atakaporejea nchini.
Ninawataka wanachama wote wa Act Wazalendo wawe watulivu na Kama kuna masuala yanayohusu maamuzi ya vikao vya Chama tutawajulisha.“ameandika Zitto Kabwe.
Jobs at Musoma Water Supply and Sanitation Authority (MUWASA)

Jobs at Musoma Water Supply and Sanitation Authority (MUWASA)


VACANCIES
Musoma Water Supply and Sanitation Authority (MUWASA) is an utility established under section 9 of the Water Supply and Sanitation Act No. 12 of 2009 with the objective of provision of Water Supply and Sanitation services in Musoma Municipality. In this respect, the activities of MUWASA have specifically expanded and the authority now invites application from suitably qualified and skilled individuals who are dynamic and result oriented to fill the following posts:
0:1 Job Position: Information Technology Officer I (1 Post)
1 :1 Reporting to: Managing Director
1 :2 Duties and Responsibilities
i. To conduct system analysis related to computer applications.
ii. To design moderately complicated systems on the basis of systems analysis documents.
iii. To write detailed systems specifications related to moderately complicated applications.
iv. To conduct Systems analysis relating to computer applications.
v. To coordinate the data synchronization activities between the engineering and the billing departments.
vi. To manage the meter management billing system and data updating activities.
vii. To make regular back-ups to safeguard both Auto CAD and billing databases
viii. To performing any other duties that may be assigned by the Supervisor.
ix. To plan design and develop system related computer system and programming
1 :3 Minimum Qualifications
Holder of Bachelor Degree or Advanced Diploma in Computer Science, Computer Engineering, Information Communication Technology, Information Systems Analysis, Electronics and Communications from a recognized Institution,
1.4 Minimum Experience
Possession of at least Five (5) years of working in similar field.
1 :5 Age limit
Not above 45 years of age
===========
2:0 Job Position: Customer Relation Officer I 1 Post
2:1 Reporting to: Commercial Manager
2:2 Duties and Responsibilities
i. To identify customers and their needs.
ii. To prepare and develop market plans and programmes.
iii. To monitor and review business performance.
iv. To gather marketing information.
v.To process promotional materials as requested by departments and sections.
vi. To monitor sponsorship and donation requests.
vii. To monitor and maintain promotional materials.
viii. To maintain good customer service when dealing with internal and external customers.
ix. To follow up on supplies of promotional materials
x. To perform any other duties as may be assigned.
2:3 Minimum Qualifications
Holder of Bachelor Degree or Advanced Diploma qualifications in Marketing, Business Administration, Commerce, Mass Communication or related disciplines from recognized Institution, Possession of Master's Degree is an added advantage. He or She must be computer literate.
2.4 Minimum Experience
Possession of at least five (5) years of working in similar field.
2:5 Age limit
Not above 45 years of age
2:6 Remuneration
Active package and fringe benefits as per MUWASA's incentives scheme will be offered to the successful candidates.
Mode of Application
Only qualified persons should submit their handwritten letters of application with certified copies of relevant academic and professional certificates and testimonials so as to reach the undersigned not later than 21st June, 2017. Applicants are also required to indicate the names and contacts of at least three (3) work/professional related referees. Women are encouraged to apply. Only short listed candidates will be informed for interview.
The Managing Director
Musoma Water Supply and Sanitation Authority,
P. 0. Box 233,
MUSOMA.
NAFASI YA AJIRA TPC LIMITED, JUNE 2017

NAFASI YA AJIRA TPC LIMITED, JUNE 2017


VACANCY ANNOUNCEMENT
TPC Ltd is one of the fast growing sugar producing companies in Tanzania. The company is situated at the foot of Mount Kilimanjaro. 22 kms south of Moshi Municipality
Applications are invited from energetic, proactive and dynamic Tanzanians to fill vacant position in the Corporate Affairs Department.
POST: 1. RADIOGRAPHER(1Post)
1.0 Reports to the Hospital Manager
1.1 Core Job Description: To deal with day to day Radiographer duties and responsibilities.
1.2 Key Accountabilities
1.2.1 Preparing examination rooms, positioning patients for imaging exams.
1.2.2 Assessing and monitoring patients through treatment and follow-up.
1.2.3 Working closely with medical specialists to plan treatment of tissues defects.
1.2.4 Screening of abnormalities.
1.2.5 Producing and interpreting high quality images of the body to identify and diagnose injury and disease.
1.2.6 Asses patients and their requirements towork out which radiographic techniques to use.
1.2.7 Take responsibilities for radiation safety in your work area, including checking equipment for malfunctions and errors.
1.2.8 Manage referrals to ensure patients receive radiation dose as low as reasonable possible.
1.2.9 Supervising staff and patients in radiation work areas.
1.2.10 Provide support and reassurance to patience, taking into account their physical and psychological needs.
1.2.11 Documenting information with computers.
1.3 Core Competencies
Should demonstrate ability to provide high quality diagnostic imaging services, planning and giving treatment using x-rays and other radioactive resources.
1.4 Personal Specifications
Diploma in Diagnostic Radiography with Sonography must be registered by Tanganyika Medical Imaging and Radiology Council. A combination of relevant certified academic certificates. He/she must possess computer skills and should have at least 2 years working experience.
MODE OF APPLICATION
Candidates meeting the requisite qualifications should submit their written applications and detailed CV to the address below. describing how they see themselves qualifying for this position. They should also send certified copies of academic certificates, three references. daytime telephone numbers and e-mail addresses. The closing deadline for all applications is 16 June, 2017. Any application letter after the deadline will not be considered.
Only shortlisted candidates will be contacted
Human Resources Executive Officer, 
P. 0. Box 93, 
Moshi, Kilimanjaro
Tel: +255272754389, FAX:+255272754391
E-mail:'tpc@tpc.co.tz

Saturday

Spika ana mamlaka kisheria ya kuomba vyombo vya dola kumsaidia kumkamata mtu – Mdee

Spika ana mamlaka kisheria ya kuomba vyombo vya dola kumsaidia kumkamata mtu – Mdee

Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee amesema Spika ana mamlaka ya kisheria ya kuomba vyombo vingine vya dola kumsaidia kumkamata mtu huku akisema kuwa ameamua kuwahi Dodoma kuepuka kukomolewa na Spika Ndugai aliyeagiza afike mbele ya Kamati ya Maadili jana asubuhi na kuagiza polisi wamsake popote alipo, ikiwezekana apelekwe akiwa amefungwa pingu.
Mdee, ambaye alikuwa Dar es Salaam wakati amri hiyo ikitolewa juzi saa 5:00 asubuhi, aliwasili Dodoma jana, lakini suala lake litajadiliwa leo. “Spika ana mamlaka ya kisheria ya kuomba vyombo vingine vya dola kumsaidia kumkamata mtu,” alisema Mdee alipoongea na gazeti la Mwananchi.
“Kwa sababu hiyo, ana uwezo wa kutumia mamlaka hayo kumkomoa mtu. Ndiyo maana nikaja mwenyewe Dodoma. Niliacha majukumu mazito niliyokuwa nayo ili lengo lake la kunikomesha lisifanikiwe,” aliongeza. Spika Ndugai, aliyezungumza kwa ukali, alisema anajua kuwa Mdee alikuwa nje ya Dodoma, lakini akataka awe amefika mbele ya kamati hiyo jana muda sawa na ule aliokuwa akitoa maagizo hayo juzi.
Mdee anatuhumiwa kutoa lugha mbaya kwa Spika, Rais na wabunge wakati wa mjadala uliokuwa mkali wa nafasi za wagombea wa Chadema na CUF katika Bunge la Afrika Mashariki.
Mdee pamoja na Kiongozi wa Kambi Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kufika watahojiwa na kamati hiyo leo.