Monday

Muonekano wa ndani wa ndege binafsi ya Donald Trump


Rais mteule wa Marekani Donald Trump ni miongoni mwa watu matajiri nchini Marekani. Bilionea huyu ni mfanyabaishara anayemimiliki mashamba na hoteli mbalimbali nchini humo. Katika wakati wote wa kampeni, Donald Trump alikuwa akitumia ndege yake binafsi katika safari zake.
Kwa vile sasa amechaguliwa kuwa Rais wa 45 wa Marekani atalazimika kuiacha ndege hiyo na kutumia ndege maalum ya Rais ‘Air Force One’ ambayo ndiyo hutumiwa na rais wa nchi hiyo.

 Hapa chini ni video ikikuonyesha muonekano wa ndani wa ndege binafsi ya Donald Trump.


SHARE THIS

0 maoni: